Maisha Na Huduma Ya Yesu
Maisha Na Huduma Ya Yesu

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 6: Kufundisha kama Yesu

21 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Kufikia mwisho wa somo hili, kila mwanafunzi atapaswa:

(1) Aelewe maana ya ufalme wa Mungu katika Vitabu vya Injili.

(2) Kutambua kwa pamoja vipengele vya wakati huu na wakati ujao vya ufalme wa Mungu.

(3) Kufuata kanuni za Yesu za maisha katika ufalme kutokana na Mahubiri ya Mlimani.

(4) Kufasiri kwa ukamilifu mifano ya Yesu kuhusiana na ufalme.

(5) Kujikabidhi kwenye masharti ya Yesu kuhusiana na uanafunzi.