Utangulizi wa ibada ya Kikristo
Utangulizi wa ibada ya Kikristo

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 4: Ibada katika Agano Jipya

22 min read

by Randall McElwain


Malengo ya Somo

Mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa:

(1) Kuelewa jinsi Yesu alivyotimiza ibada.

(2) Kutambua aina za ibada za uongo katika injili, Matendo na Ufunuo.

(3) Kutoa ahadi binafsi kwa ibada na uinjilisti.

(4) Kujua vipengele vya msingi vya ibada katika kanisa la kwanza katika nyaraka.

(5) Kupata uzoefu wa ibada inayolenga Mungu.