Utangulizi wa ibada ya Kikristo
Utangulizi wa ibada ya Kikristo

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 10: Mtindo wa Maisha wa Kuabudu

16 min read

by Randall McElwain


Malengo Ya Somo

Mwisho wa somo hili, mwanafunzi anapaswa:

(1) Kutambua uhusiano kati ya ibada ya ushirika na mtindo wa maisha wa kuabudu.

(2) Kuelewa kwamba mtindo wa maisha wa kuabudu hubadilisha maadili ya mtu.

(3) Kutafuta kuishi kwa utukufu wa Mungu.

(4) Kujitolea kwa mtindo wa maisha wa kuabudu unaofundishwa katika Warumi 12:2.

(5) Kutaja theolojia ya kuabudu yenye msingi wa kibiblia.