Mafundisho Na Mazoezi Ya Kanisa
Mafundisho Na Mazoezi Ya Kanisa

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 15: Maswali kuhusu ukomavu kwa Kanisa

11 min read

by Stephen Gibson


Utangulizi

Somo hili linatoa tabia za kanisa lililokua katika mfumo wa maswali. Kanisa linapaswa lifikirie au lizingatie maswali haya kwa ajili ya kuwa na ufahamu wa jinsi wanavyohitajika kuendelea.

Kundi la wanafunzi katika darasa hili wanaweza wasiwe wote wanatoka katika kanisa moja na wanaweza wasiweze kufanya maamuzi kuhusu mabadiliko katika kanisa. Wanaweza wakatumia maswali haya kwa ajili ya kufanya tathmini ya kiwango cha ukuaji wa kanisa na kuweka malengo kwa ajili ya huduma zao wenyewe.

Kwa kila swali lililoko hapa chini, jadili swali linamaanisha nini, ukitumia maelezo ya ufafanuzi yaliyotolewa. Kisha, fikiria ni kwa jinsi gani kanisa linaweza kuendeleza tabia linazozihitaji.