Familia ya Kikristo
Familia ya Kikristo

Search Course

Type at least 3 characters to search

Search through all lessons and sections in this course

Searching...

No results found

No matches for ""

Try different keywords or check your spelling

results found

Lesson 12: Kuwalea Watoto Kwa Makusudi

18 min read

by Stephen Gibson


Malengo ya Somo

Hadi kufikia mwishoni mwa somo hili, mwanafunzi atapaswa:

(1) Elezea wajibu ambao Mungu amewapa wazazi.

(2) Elewa umuhimu wa ukuzaji wa tabia mapema.

(3) Kuwezeshwa kwa makusudi ya kupanga kwa ajili ya maendeleo ya watoto katika maeneo tisa ya maisha.

(4) Kuelezea mwingiliano uliopo kati ya hiari huru ya mtoto na vishawishi kutoka nje dhidi a mtoto.

(5) Kujikabidhi kabisa kwa ajili ya uanafunzi wa uaminifu kwa watoto.